Hali hyo ikaleta mtafaruku wa wapi timu ya taifa ya mpira wa miguu inakoelekea na hivyo kupelekea waziri wa michezo wa hapa mh.Fikile Mbalula kuwaita wachezaji hao katika kugha ya kigeni kuwa ni BUNCH OF LOOSERS.
Baada ya matokeo hayo yote mabaya ya timu kwa udhamini wa benk ya NEDBANK sasa imechukua makocha wa zamani kama lashe Mashaba aliyekuwa kocha wa vijana chini ya umri wa miaka 23.Owen Dagama aliyekuwa kocha wa platinum stars pamoja na mchezaji wa zamani wa timu hiyo na pia ni kocha msaidizi wa Kaiza Chief.Makocha hao sasa wameenda kila jimbo la hapa Afrka Kusini na kutafuta vipaji ambavyo viatakuja kuwa mwakilishi wa taifa hili hapo baadae.Angalia picha hizo tofauti katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Ligi kuu ya Afrika Kusini na kuwatambulisha baadhi ya wachezaji hao hapo juzi.
0 comments:
Post a Comment