Dunia yote imeangazia mashindano ya fainali za kombe la dunia na kila
mwenye muda na uwezo amefika Brazil kuhakikisha anaangalia kwa moja kwa
moja mashindano hayo.
P.Diddy
Earlier this month, Howard University announced that its prodigal
son, millionaire music mogul Sean Combs (also known as P. Diddy or Puffy
Daddy depending on when you graduated college), had been tapped to







Rubani
wa Kimarekani, Amelia Earhart alikuwa mwanamke wa kwanza kuvuka Bahari
ya Atlantic kuchunguza dunia, alipotea na ndege yake miongo saba
iliyopita. Inahisiwa kuwa ndege yake iliishiwa mafuta na kuanguka.







Hii ndio ambayo leo hii nimeichagua kuwa ndio picha bora kabisa ya wiki.Ilikuwa ni katika mchezo wa kirafiki kati ya Brazil na Afrika Kusini uliofanyika siku ya jumatano ambapo timu hiyo ya Brazil iliifunga timu ya Afrika Kusini magoli 5-0.