
Juu ya kilele kabisa ni mtoto ambaye alichepuka kuingia uwanjani na kujiunga na wachezaji wa Brazil kushangalia ushindi huo tukio ambalo kama limeweka historia vile kunakotokana na kuzoea kuona kila siku watu wazima ndio wanaingia uwanjani.
Mtoto huyo anayefahamika kwa jina la Ayo dosumun anaonekana akiwa juu kabisa ya wachezaji wa timu ya dunia ambayo ni Brazil wakishangalia pamoja ushindi huo,nyuma yake aliyevaa jaket jekundu ni baba yake Shola Dosumun akikimbia uwanjani hapo kumfuata mwanawe.
Unaionaje picha hii kama ungekuwa ni wewe au mwanao ndio huyo hapo juu?
0 comments:
Post a Comment